«لَا صَلَاةَ لِمَنْ لَمْ يَقْرَأْ بِفَاتِحَةِ الكِتَابِ».
[صحيح] - [متفق عليه] - [صحيح البخاري: 756]
المزيــد ...
Kutoka kwa Ubaada bin Swaamit -Radhi za Allah ziwe juu yake- hakika Mtume -Rehema na amani za Allah ziwe juu yake alisema:
"Hana swala yeyote ambaye hakusoma sura kifunguzi cha kitabu (suratul faatiha)".
[Sahihi] - [Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim] - [صحيح البخاري - 756]
Amebainisha Mtume rehema na amani ziwe juu yake kuwa sala haikubaliki isipokuwa kwa kusoma suratul Fatiha, nayo ni nguzo miongoni mwa nguzo za swala, katika kila rakaa.
تسقط قراءةُ الفاتحةِ عن المأموم إذا أدركَ الإمام راكعًا.0915726949