Orodha ya Hadithi

Hakika Mwenyezi Mungu amefaradhisha (kutenda) wema katika kila kitu
عربي الإنجليزية الأوردية
Kila kilevi ni haramu.
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika Mwenyezi Mungu amewajibisha (kufanya) wema katika kila kitu
عربي الإنجليزية الأوردية
Nilimuendea Mtume -Rehema na Amani ziwe juu yake- Nikasema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu, Hakika sisi tuko katika ardhi ya watu wa kitabu, je tule katika vyombo vyao
عربي الإنجليزية الأوردية
kila kilevi ni haramu, na atakayekunywa pombe duniani na akafa akiwa mlevi kupindukia na hakutubia, hatoinywa huko akhera
عربي الإنجليزية الأوردية
Kinacholewesha kikiwa kingi, basi hata kidogo ni haramu
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Alichinja Mtume rehema na amani ziwe juu yake kondoo wawili wazuri weupe wenye pembe, aliwachinja kwa mkono wake, akasema, Bismillahi Allaahu Akbar, na akaweka mguu wake ubavuni mwao
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika wanyama hawa wafugwao ni wanyama kama walivyo wanyama pori, watakaokushindeni miongoni mwao (kuwachinja) basi fanyeni hivyo
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika Allah na Mtume wake ameharamisha kuuza pombe, na mzoga na nguruwe na masanamu
عربي الإنجليزية الأوردية
Alikataza kula kila chenye meno ya chonge katika wanyama wanaoshambulia, na kila chenye mdomo wa chonge katika ndege
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakayeswali swala yetu na akaelekea kibla chetu na akala kichinjwa chetu basi huyo ni Muislamu mwenye dhima ya Mwenyezi Mungu na dhima ya Mtume wake, msimfanyie hiana Mwenyezi Mungu katika dhima yake
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakayefuga mbwa isipokuwa mbwa wa mawindo au wa mifugo, basi yatapungua katika matendo yake kila siku kiratu (shehena) mbili
عربي الإنجليزية الأوردية
Tambueni kuwa pombe imekwisha haramishwa
عربي الإنجليزية الإندونيسية