Aina: . . .
+ -
عن عَبْدِ اللهِ بْنِ عُكَيْمٍ رضي الله عنه قال: قَالَ رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ:

«مَنْ تَعَلَّقَ شيئا وُكِلَ إليه».
[ضعيف] - [رواه أحمد والترمذي] - [مسند أحمد: 18781]
المزيــد ...

Kutoka kwa Abdillah bin Hakim- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- Hadithi Marfu'u: "Mwenye kukitegemea kitu hufungamanishwa kwacho".

الملاحظة
والنسائي
النص المقترح لا يوجد...

[Ni nzuri] - [Imepokelewa na Imamu Tirmidhiy - Imepokelewa na Ahmad]

Ufafanuzi

Atakayegeuka kwa moyo wake au vitendo vyake au kwa vyote viwili katika kitu ambacho anataraji manufaa au kuzuia madhara, Mwenyezi Mungu humuwakilisha katika kitu hicho ambacho amekielekea, atakayemuelekea Mwenyezi Mungu humtosheleza na humfanyia wepesi kila zito, na mwenye kumuelekea asiyekuwa yeye Mwenyezi Mungu humfungamanisha katika kitu hicho na humfedhehesha.

Katika Faida za Hadithi

  1. Katazo la kuegemea kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.
  2. Ulazima wa kuegemea kwa Mwenyezi Mungu katika mambo yote.
  3. Kubainishwa madhara ya ushirikina na ubaya wa mwisho wake.
  4. Malipo huendana na matendo.
  5. Nikuwa malipo ya kitendo hurudi kwa mfanyaji yakiwa ya kheri au ya shari.
  6. Kushindwa kwa mwenye kujiondoa kwa Mwenyezi Mungu na akatafuta manufaa kwa asiyekuwa yeye.
الملاحظة
خذلان من انصرف عن الله وطلب النفع من غيره.
من تعلق بالله كفاه فهو القوي الذي بيده كل شيء ومن تعلق بغيره فإن ذلك الغير ضعيف لا يملك شيء
النص المقترح لا يوجد...
Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu Kiispania Lugha ya Kiindonesia Ki ighori Kibangali Lugha ya kifaransa Kituruki Lugha ya Kirashia Lugha ya Kibosnia Kisin-hala Kihindi Kichina Kifursi Kivetenamu Kitagalogi Kikurdi Kihausa Kireno Kimalayo Kitelguu Kunakili kumbukumbu mahala pa kutafsiri Burmese Thai German Kijapani Pashto Kiassam Albanian
Kuonyesha Tarjama
Aina tofauti
  • . .
  • . .
Ziada