Orodha ya Hadithi

Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu amefaradhisha faradhi basi msizipoteze, na akaweka mipaka basi msiivuke, na akaharamisha vitu basi msivivamie, na akayanyamazia mambo kwa kukuhurumieni si kwa kusahau basi msiyatafute
عربي الإنجليزية الأوردية
Si halali damu ya muislamu isipokuwa kwa moja kati ya mambo matatu
عربي الإنجليزية الأوردية
Hamtazami Mwenyezi Mungu mtu ambaye kamuingilia mwanaume au mwanamke katika tupu yake ya nyuma
عربي الإنجليزية الأوردية
Msiadhibu kwa adhabu ya Mwenyezi Mungu
عربي الإنجليزية الأوردية
Walikuja watu kutoka kabila la Ukli au Uraina, wakauchukia mjini Madina
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Atakayefanya jambo la kustahiki kuadhibiwa, ikaharakishwa adhabu yake basi Mwenyezi Mungu ni muadilifu zaidi juu ya mja wake (hawezi) kumuadhibu mara mbili akhera
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Msimlaani, Wallahi, namuapa Mwenyezi Mungu sikujua lolote kwake isipokuwa anampenda Mwenyezi Mungu na Mtume wake
عربي الإنجليزية الأوردية
Yeyote atakaetubebea silaha dhidi yetu, si miongoni mwetu
عربي الإنجليزية الأوردية
Mkono unakatwa kwa robo Dinari na kuendelea
عربي الإنجليزية الأوردية
Hapigwi mtu zaidi ya viboko kumi isipokuwa kama itakuwa katika kutelekeza sheria miongoni mwa sharia za Mwenyezi Mungu
عربي الإنجليزية الأوردية