Orodha ya Hadithi

Ewe baba yangu mdogo, sema: Laa ilaaha illa llaahu (Hapana Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu) neno ambalo nitakutetea kwalo mbele ya Mwenyezi Mungu
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakita simama Kiyama mpaka jua lichomoze kutoka upande wa Magharibi, na likichomoza na wakaliona watu wote wataamini
عربي الإنجليزية الأوردية
Mauti yataletwa yakiwa kama dume la Kondoo mwenye rangi mchanganyiko ya weusi na weupe
عربي الإنجليزية الأوردية
Msiwafanye Mayahudi na Manaswara kuwa ni wakweli wala ni waongo, na semeni hivi {Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yote yaliyoteremshwa kwetu sisi}
عربي الإنجليزية الأوردية
Mayahudi wameghadhibikiwa, na Wakristo ni wapotofu
عربي الإنجليزية الأوردية
Ikiwa utawaona wenye kufuata Aya zenye kutatiza basi hao ndiyo ambao Mwenyezi Mungu amewataja katika aya
عربي الإنجليزية الأوردية
Akasema: "Watahesabiwa kwa hiyana waliyokufanyia na kukuasi na kukudanganya, na itahesabiwa adhabu yako uliyowapa
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika haya unayoyasema na kuwalingania watu ni mambo mazuri, ikiwa utatwambia juu ya haya tuliyoyafanya kama yana kafara
عربي الإنجليزية الأوردية
Enyi watu hakika Mwenyezi Mungu ameondosha kwenu nyinyi kiburi cha zama za ujinga, na kujifaharisha kwa nasaba
عربي الإنجليزية الأوردية
Kisha hakika bila shaka mtakuja kuulizwa kuhusu neema
عربي الإنجليزية الأوردية
bali semeni: Tumesikia na tumetii tunataraji msamaha toka kwako ewe Mola wetu Mlezi, na marejeo ni kwako
عربي الإنجليزية الأوردية
Funguo za mambo ya ghaibu ni tano
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika imeteremshwa juu yangu aya ni aya ninayoipenda zaidi kuliko dunia nzima
عربي الإنجليزية الإندونيسية