Aina ndogo

Orodha ya Hadithi

Shikamaneni na hii Qur'ani, Namuapa yule ambaye nafsi ya Muhammad iko mkononi mwake, hiyo ni nyepesi sana kuponyoka kuliko ngamia kuponyoka kutoka kwenye kamba yake.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Mbora wenu ni yule aliyejifunza Qur'ani na akaifundisha
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Atakayesoma herufi moja katika kitabu cha Mwenyezi Mungu basi atapata jema moja na jema hilo kwa mema kumi mfano wake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Mfano wa muumini mwenye kusoma Qur'ani ni kama mfano wa chenza harufu yake nzuri na ladha yake nzuri, na mfano wa muumini ambaye hasomi Qur'ani ni kama mfano wa tende: haina harufu na ladha yake ni tamu
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Ataambiwa msomaji wa Qur'ani: Soma na upande daraja, na soma kwa utulivu kama ulivyokuwa ukisoma Duniani, kwa hakika upandaji wa cheo chako utakomea katika Aya ya mwisho utakayoisoma
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa