Orodha ya Hadithi

Msiwatukane wafu, kwani wao tayari wameyapata yale waliyoyatanguliza
عربي الإنجليزية الأوردية
Hivi hukujua kuwa uislamu hufuta madhambi yaliyokuwa kabla yake, na kuwa kuhama kunafuta madhambi yaliyokuwa kabla yake, nakuwa Hija inafuta madhambi yaliyokuwa kabla yake?
عربي الإنجليزية الأوردية
Mwenyezi Mungu akimpangia mja afie sehemu fulani humfanya ahitajie kitu sehemu ile
عربي الإنجليزية الأوردية
Anapo kufa mwanadamu matendo yake hukatika isipokuwa mambo matatu: Sadaka yenye kuendelea, au elimu yenye manufaa, au mtoto mwema wa kumuombea dua
عربي الإنجليزية الأوردية
Muosheni mara tatu, au mara tano au zaidi ya hapo, mkiona kuna haja ya kuzidisha, kwa maji na mkunazi, na mwisho muweka kafuri -au chochote katika kafuri-, mkimaliza nipeni idhini
عربي الإنجليزية الأوردية
Alituamrisha Mtume rehema na amani ziwe juu yake mambo saba, na akatukataza mambo saba
عربي الإنجليزية الأوردية
Fanyeni haraka kulipeleka jeneza, likiwa ni la mtu mwema, basi mnaliwahisha kupata kheri, na likiwa kinyume na hivyo, basi hiyo nishari mnajiwekea shingoni kwenu
عربي الإنجليزية الأوردية
Tulikatazwa kusindikiza jeneza, na hatukusisitiziwa katazo hilo
عربي الإنجليزية الأوردية
Watamkisheni maiti wenu (neno) Laa ilaaha illa llaah
عربي الإنجليزية الأوردية
hakika Mtume rehema na amani ziwe juu yake alijitenga mbali na mpiga mayowe, na mnyoa nywele, na mchana nguo
عربي الإنجليزية الأوردية
Amewalaani Mwenyezi Mungu Mayahudi na Wakristo, waliyafanya makaburi ya Manabii wao kuwa mahali pa kusalia
عربي الإنجليزية الأوردية