"كلُّ بَنِي آدم خَطَّاءٌ، وخيرُ الخطَّائين التوابون".
[ضعيف] - [رواه الترمذي وابن ماجه والدارمي وأحمد]
المزيــد ...
Kutoka kwa Anas bin Malik- Radhi za Allah ziwe juu yake- amesema: Amesema Mtume wa Allah- Rehma na amani ziwe juu yake- "Kila mwanadamu ni mkosefu, na mbora wa wakosefu ni wale wenye kutubia".
Haepukani mwanadamu na kukosea, kwa jinsi alivyoumbwa kutokana na udhaifu, na kutokumtii msimamizi wake katika kutekeleza yale aliyomtaka ayafanye, na kuacha yale aliyomkataza, lakini yeye Mtukufu amefungua mlango wa toba kwa waja wake, na akaeleza kuwa mbora wa wakosefu ni wale wenye kukithirisha toba.
من شأن ابن آدم الخطأ والوقوع في الذنب.لعدم عصمتهم
الواجب على المؤمن إذا تلبس بمعصية أن يبادر بالتوبة.زيادة
الواجب على المؤمن إذا تلبس بمعصية أن يبادر بالتوبة.٣- فيه : سعة رحمة الله تعالى بعباده بأن شرع لهم التوبة ؛ ليغفر لهم الذنوب .
الواجب على المؤمن إذا تلبس بمعصية أن يبادر بالتوبة.٤ - وفي الحديثِ: الحث على الإكثار من التوبة مهما بلغت الذنوب .
من شأن ابن آدم الخطأ والوقوع في الذنب.إضافة (كثرة)
الواجب على المؤمن إذا تلبس بمعصية أن يبادر بالتوبة.hadeethenc.com/ar/browse/hadith/5344