Orodha ya Hadithi

Si miongoni mwetu atakayetafuta kujua habari za mikosi au akafanyiwa, au akafanya ukuhani au akafanyiwa, au akaroga au akarogewa
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakayechukua elimu katika elimu ya unajimu basi atakuwa kajichukulia sehemu ya uchawi, atazidi kuwa mchawi mkubwa kila anavyozidi kujifunza uchawi
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika kilicho kati ya mtu na ushirikina na ukafiri ni kuacha swala
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika ahadi iliyopo kati yetu na wasiokuwa waislamu ni sala, na atakayeiacha sala basi huyo ni kafiri
عربي الإنجليزية الأوردية
Hauondoi uchawi ila mchawi
عربي الإنجليزية الأوردية
"Hivi mnajua kuwa Mola wenu amesema nini?" Wakasema: Mwenyezi Mungu na Mtume wake ndiyo wanajua zaidi, akasema: "Watu wangu kwenye kuteremka Mvua wamegawanyika makundi mawili kuna waumini na makafiri
عربي الإنجليزية الأوردية