Orodha ya Hadithi

Namna ya kuoga janaba
عربي الإنجليزية الأوردية
Alikuwa Mtume Rehema na amani ziwe juu yake anapooga kwa ajili ya janaba, anaosha mikono yake, na anatawadha udhu wake ule wa swala, kisha anaoga
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakaye koga siku ya Ijumaa josho la janaba, kisha akatoka katika saa ya kwanza ni kana kwamba katoa sadaka ya ngamia
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakayekuja miongoni mwenu kwa ajili ya Ijumaa basi na aoge
عربي الإنجليزية الأوردية
Ni haki kwa kila muislamu aoge katika kila siku saba walau siku moja, aoshe ndani yake kichwa chake na mwili wake
عربي الإنجليزية الأوردية
Nilimwendea Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- nikitaka kuwa muislamu, akaniamrisha nioge kwa maji na mkunazi
عربي الإنجليزية الأوردية
Sub-haana llaah, ametakasika Mwenyezi Mungu, hakika muumini hanajisiki
عربي الإنجليزية الأوردية
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake akitusomesha Qur'ani katika kila hali madamu hana janaba
عربي الإنجليزية الأوردية
Alikuwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake kikimuosha kibaba cha maji kutokana na janaba, na ukimtia udhu ujazo wa kiganja
عربي الإنجليزية الأوردية