Orodha ya Hadithi

“Msivae hariri wala dibaji (Sufi) wala msinywe katika vyombo vya dhahabu au vya fedha, wala msile katika vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu na fedha, kwani ni vyao (Makafiri) katika dunia na sisi ni vyetu Akhera
عربي الإنجليزية الأوردية
Atakayevaa hariri duniani hatoivaa Akhera
عربي الإنجليزية الأوردية
Mtakapo vaa, na mtakapo tawadha, basi anzeni na kuliani kwenu
عربي الإنجليزية الأوردية
Asiangalie mwanaume katika uchi wa mwanaume mwenzie, wala mwanamke kutazama uchi wa mwanamke mwenzie
عربي الإنجليزية الأوردية
Vaeni katika nguo zenu nguo nyeupe, kwani hizo ni katika nguo zenu bora, na wavisheni kwazo maiti wenu
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Kikoi cha muislamu kifikie nusu ya muundi, na wala hakuna tabu wala hakuna ubaya kikiwa kati yake na kati ya fundo mbili za miguu, kitakachokuwa chini ya fundo mbili basi hicho ni motoni, na atakayeburuza kikoi chake kwa kiburi hatomtazama Mwenyezi Mungu
عربي الإنجليزية الأوردية
Hamtazami Mwenyezi Mungu mwenye kuburuza nguo yake kwa kiburi
عربي الإنجليزية الأوردية