Aina: . . .
+ -
عَنْ عَائِشَةَ أم المؤمنين رضي الله عنها عَنِ النَّبِيِّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ:

«إِذَا أُقِيمَتِ الصَّلاَةُ وَحَضَرَ العَشَاءُ فَابْدَؤُوا بِالعَشَاءِ».
[صحيح] - [رواه البخاري] - [صحيح البخاري: 5465]
المزيــد ...

Kutoka kwa Aisha na Abdillahi bin Omar na Anasi bin Maliki -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Hadithi Marfu'u: "Itakaposimamishwa swala na kikatengwa chakula cha usiku basi anzeni na chakula cha usiku".

الملاحظة
ورواه مسلم رقم " 557"
النص المقترح لا يوجد...
الملاحظة
للحديث روايات أخرى فيها زيادة توضح الحديث
النص المقترح لا يوجد...

[Sahihi] - [Imepokelewa na Al-Bukhaariy na Muslim katika riwaya zake zote]

Ufafanuzi

Itakaposimamishwa swala, na chakula au kinywaji kikawa kiko tayari, inatakiwa kuanza na kula au kunywa mpaka yakatike matamanio ya mwenye kuswali, na akili yake asikaye anafikiria hilo, na aingie katika swala, na sharti ya hilo ni muda wa swala kutokuwa mfinyu, na uwepo wa uhitaji na kufikiria chakula, na hii inathibitisha ukamilifu wa sheria na kuzingatia kwake haki za nafsi pamoja na wepesi na upole.

Katika Faida za Hadithi

الملاحظة
قال أبو الدرداء رضي الله عنه: مِنْ فقه المرء إقباله على حاجته حتى يُقبل على صلاته وقلبه فارغ.
تخريج أثر أبي الدرداء
النص المقترح علّقه البخاري، في كتاب الأذان، باب إذا حضر الطعام وأقيمت الصلاة، قبل الحديث رقم (671)، قال ابن حجر: وصله ابن المبارك في " الزهد " ص 401، وأخرجه محمد بن نصر المروزي في كتاب " تعظيم قدر الصلاة " 1/185 من طريقه. ينظر: فتح الباري لابن حجر2/159
Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu Kiispania Lugha ya Kiindonesia Ki ighori Kibangali Lugha ya kifaransa Kituruki Lugha ya Kirashia Lugha ya Kibosnia Kisin-hala Kihindi Kichina Kifursi Kivetenamu Kitagalogi Kikurdi Kihausa Kireno
Kuonyesha Tarjama
Aina tofauti
  • . .