ورُوي عن الحسن رحمه الله أنه قال:

"لا يحل السحر إلا ساحر".
[حسن] - [رواه بنحوه ابن أبي شيبة والخطابي]
المزيــد ...

Na imepokelewa kutoka kwa Hassan yakwamba yeye amesema: "Hauondoi uchawi ila mchawi".

الملاحظة
وقد يذكر هذا الأثر بعد حديث النشرة، في الرابط التالي:
النص المقترح لا يوجد...
الملاحظة
الرابط: https://hadeethenc.com/ar/browse/hadith/3402#:~:text=%D9%85%D9%86%20%D8%B9%D9%85%D9%84%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86
النص المقترح لا يوجد...
الملاحظة
عذا أثر وليس بحديث
النص المقترح لا يوجد...

Ni nzuri - Imepokelewa na Ibn Abii Shaybah

Ufafanuzi

Nushra, ni kuondoa uchawi, na uwazi wa maneno ya Hassan ni kuzuia hilo moja kwa moja; kwasababu hakuna anayeweza kuuondoa uchawi isipokuwa mwenye maarifa ya uchawi, na hii inachukuliwa katika kuondoa uchawi kwa uchawi mfano wake, ambayo ni katika kazi za shetani, na aliweka wazi bin Qayyim kwa kusema: Nikuwa, kumtibu aliyerogwa kwa madawa ya halali na kusoma qur'ani ni jambo linalofaa, na kumtibu aliyerogwa kwa uchawi ni haramu.

Tafsiri: Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa Kiispania Kituruki Lugha ya Kiurdu Lugha ya Kiindonesia Lugha ya Kibosnia Lugha ya Kirashia Kibangali Kichina Kifursi Kitagalogi Kihindi Kisin-hala Kikurdi Kihausa Kireno
Kuonyesha Tarjama

Maana ya Maneno