Orodha ya Hadithi

Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake-, hajui kitenganishi kati ya Sura na Sura nyingine mpaka imteremkie {Bismillahir Rahmanir Rahiim}
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakuna yeyote katika Manabii isipokuwa alipewa mfano wa yale waliyoyaamini watu
عربي الإنجليزية الأوردية
Hakika Mwenyezi Mungu aliyetakasika na kutukuka aliteremsha "Na wasiohukumu kwa yale aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu basi hao ndio makafiri
عربي الإنجليزية الأوردية
Mnayafanya, enyi watu, yale mnayoyasimamia ya kuwanwyesha mahujaji na kuuimarisha msikiti Mtukufu ni kama Imani ya aliyemuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho? [Tauba: 19] Mpaka mwisho wa Aya
عربي الإنجليزية الأوردية
Lau kama mtu atadhamiria ubaya akiwa katika mji wa eden (Yemen) mbali huko, basi Mwenyezi Mungu angemuonjesha adhabu chungu
عربي الإنجليزية الإندونيسية
Tambueni kuwa pombe imekwisha haramishwa
عربي الإنجليزية الإندونيسية