Orodha ya Hadithi

Alikuwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake akimtaja Mwenyezi Mungu katika nyakati zake zote.
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
walikuwa wakitusomea Aya kumi kutoka kwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake-, hivyo hawakuwa wakichukua Aya kumi zingine mpaka wawe wamekwishayafanyia kazi yaliyo ndani ya aya hizo kumi kwa kujifunza na kuyafanyia kazi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa