Orodha ya Hadithi

Hakika mmoja wenu hukusanywa umbile lake ndani ya tumbo la mama yake siku arobaini
عربي الإنجليزية الأوردية
Hawafuatani Malaika na jamaa ambao ndani yao kuna mbwa au kengele
عربي الإنجليزية الأوردية
Mwenyezi Mungu ni mkubwa Mwenyezi Mungu ni mkubwa, namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye amevirudisha vitimbi vya Shetani na vikageuka kuwa ni wasiwasi
عربي الإنجليزية الأوردية
Ametuhadithia Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- naye ni mkweli mwenye kukubaliwa: "Kwa hakika mmoja wenu hukusanywa umbile lake kwenye tumbo la mama yake mchana arobaini na nyusiku arobaini
عربي الإنجليزية الأوردية
Huyo ni Shetani anaitwa Khinzab, ukimuhisi basi haraka sana taka ulinzi kutoka kwa Allah dhidi yake, na uteme kushotoni kwako mara tatu
عربي الإنجليزية الأوردية
Dua ya mtu muislamu kwa ndugu yake, anapokuwa hayupo, hujibiwa
عربي الإنجليزية الأوردية
Pokea habari njema ya kupewa Nuru mbili hakupewa Nabii yeyote kabla yako: Ufunguzi wa kitabu (Alfatiha) na Aya za mwisho katika Suratul-baqarah, hautasoma herufi miongoni mwa Sura hizo mbili isipokuwa utapewa (unacho hitaji)
عربي الإنجليزية الأوردية