Aina ndogo

Orodha ya Hadithi

Hassan na Hussein ni mabosi wa vijana wa peponi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Hakuna Muislamu yeyote atakayefikwa na msiba akasema aliyoamrishwa na Mwenyezi Mungu: "Innaa lillaahi wa innaa ilaihi raajiuun" (Hakika sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu na hakika sisi sote kwake tutarejea) [Baqara: 156], Ewe Mwenyezi Mungu nilipe katika msiba wangu, na unipe badala bora kuliko hili, isipokuwa Mwenyezi Mungu atampa badala bora kuliko hiyo
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia