Aina ndogo

Orodha ya Hadithi

Atakapoingia mtu nyumbani kwake, akamtaja Mwenyezi Mungu Mtukufu wakati wa kuingia kwake na wakati wa kula kwake husema shetani kuwaambia jamaa zake: Hamna malazi wala chakula cha usiku kwenu, na atakapoingia akawa hakumtaja Mwenyezi Mungu Mtukufu wakati wa kuingia kwake, shetani husema: mmepata malazi na chakula cha usiku
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Atakayesema: -Yaani: anapotoka nyumbani kwake-: Bismillaahi tawakkaltu a'la llaahi -kwa jina la Mwenyezi Mungu nimemtegemea Mwenyezi Mungu, Laa haulaa walaa quwwata illaa billaa- hakuna ujanja wala nguvu isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu, huambiwa: Umeongozwa na umetoshelezwa na umekingwa, na shetani hujitenga mbali naye
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa