Mkusanyiko wa Hadithi za Mtume zilizotafsiriwa
  • Nyumbani
  • Aina tofauti
  • Kuhusu mradi
  • Android App
  • iOS App
  • Wasiliana Nasi
  • Lugha
Aina: Adh-kaar za kutoka na kuingia nyumbani.
  1. Nyumbani
  2. Aina za Ukusanyaji/Insaiclopidia
  3. Mambo mazuri na Adabu- Heshima.
  4. Fiq'hi yaDua na Dhikri mbali mbali.

Aina ndogo

Orodha ya Hadithi

Atakapoingia mtu nyumbani kwake, akamtaja Mwenyezi Mungu Mtukufu wakati wa kuingia kwake na wakati wa kula kwake husema shetani kuwaambia jamaa zake: Hamna malazi wala chakula cha usiku kwenu, na atakapoingia akawa hakumtaja Mwenyezi Mungu Mtukufu wakati wa kuingia kwake, shetani husema: mmepata malazi na chakula cha usiku
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa
Atakayesema: -Yaani: anapotoka nyumbani kwake-: Bismillaahi tawakkaltu a'la llaahi -kwa jina la Mwenyezi Mungu nimemtegemea Mwenyezi Mungu, Laa haulaa walaa quwwata illaa billaa- hakuna ujanja wala nguvu isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu, huambiwa: Umeongozwa na umetoshelezwa na umekingwa, na shetani hujitenga mbali naye
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya kifaransa

Wasiliana Nasi

Lugha:

  • العربية
  • English
  • Français
  • Español
  • Türkçe
  • اردو
  • Indonesia
  • Bosanski
  • Русский
  • বাংলা ভাষা
  • 中文
  • فارسی
  • Tagalog
  • हिन्दी
  • Tiếng Việt
  • සිංහල
  • ئۇيغۇرچە
  • كوردی
  • Hausa
  • Português
  • മലയാളം
  • తెలుగు
  • Kiswahili
  • தமிழ்
  • ဗမာ
  • ไทย
  • Deutsch
  • 日本語
  • پښتو
  • অসমীয়া
  • Shqip

Kutafuta katika:

Matokeo ya utafutaji:

Kujisajili katika orodha ya barua pepe

 
  • Kuhusu mradi
  • •
  • Wasiliana Nasi
  • •
  • API
QuranEnc.com - TerminologyEnc.com
What Muslim Children Must Know
Riyadh Al-Salheen with explanation and benefits
IslamHouse Reader
HadeethEnc.com © 2023