Orodha ya Hadithi

Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake-, hajui kitenganishi kati ya Sura na Sura nyingine mpaka imteremkie {Bismillahir Rahmanir Rahiim}
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
walikuwa wakitusomea Aya kumi kutoka kwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake-, hivyo hawakuwa wakichukua Aya kumi zingine mpaka wawe wamekwishayafanyia kazi yaliyo ndani ya aya hizo kumi kwa kujifunza na kuyafanyia kazi
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiurdu
Aliulizwa Anasi kilikuwa vipi kisomo cha Mtume rehema na amani ziwe juu yake? Akasema: "Kilikuwa ni kuvuta
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia
Yakuwa aliulizwa kuhusu kisomo cha Mtume rehema na amani ziwe juu yake
عربي Lugha ya kiingereza Lugha ya Kiindonesia